_______________________________
Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia
+255758200163
+254743101242
DAR ES SALAM
TANZANIA.
TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.
_______________________________
Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia
+255758200163
+254743101242
DAR ES SALAM
TANZANIA.
TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.
MGONJWA WA HEPATITIS ZIDISHA KULA .
Vyakula vya baharini (Majini na mtoni {samaki} ) upate omega 3 .
Kula zaidi vitu Asilia visivyo sindikwa.
Tumia chumvi ya mawe epuka au acha chumvi hii ya kawaida.
EPUKA NA ACHA KABISA .
Dawa za kemikali (madawa ya hospitali) pamoja na pain killers .
Acha pombe kabisa.
Acha soda kabisa
_______________________________
Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia
+255758200163
+254743101242
DAR ES SALAM
TANZANIA.
TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.
Tumia Shifaa Dawa ya vidonda vya tumbo.
1⃣BAWASIRI YA NJE.
Hutokeza nje ya ngozi inayozunguka dubri .
⭕Kuwashwa au kuwasha eneo linalozunguka dubri,
⭕Maumivu yenye kukera na kusumbua,
⭕Kiuvimbe kilicho tuna nje ya dubri,
⭕Kuvuja damu ,
Bawasiri ya ndani ya utumbo wa mwisho karibu na dubri. Huwezi kuiona au kuihisi na mara chache husababisha usumbufu. Lakini kukaza au kuwasha wakati wa kupitisha haja kubwa kunaweza kusababisha ;
⭕Damu kutoka bila maumivu wakati wa kukidhi haja kubwa . Unaweza kuino kwenye choo au karatasi ya kujifutia (Tissue paper )
⭕Bawasiri (kinyama ) kutokeza kwenye dubri na kusababisha kuwashwa na maumivu.
Kama damu itatuama katika bawasiri ya nje na kuganda (thrombus ), itasababisha-;
⭕Maumivu makali ,
⭕Kufura ,
⭕Uvimbemchungu wenye kuwasha ,
⭕Kivimbe kigumu kwenye dubri.
Mishipa karibu na dubri huwa inajinyoosha kwa nguvu na kupanuka au kuvimba. Bawasiri inaweza kukua kutokana na shinikizo kubwa kwenye mfereji wa chini kutokana na -;
🔹Kujikaza wakati wa haja kubwa ,
🔹Kukaa muda mrefu wakati wa haja kubwa ,
🔹Kuharisha sana au kupata choo kwa tabu kama cha mbuzi,
🔹Ujauzito ,
🔹Kufanywa liwati kuingiliwa tundu la haja kubwa dubri,
🔹Kuinua mara kwa mara vitu vizito(sana ),
🔹Kunenepa sana,
🔹Ulaji wa vyakula visivyokuwa na kamba kamba/nyuzi (fibre).
Kadiri unavyozeeka, hatari ya kupata bawasiri inaongezeka .Kwa sababu tissue zinazo shikiza mishipa kwenye mreji na dubri zinaweza kuchoka na kulegea .
Hii inaweza tokea kwa mjazito , kwa sababu uzito wa mtoto hukandamiza eneo lote la dubri.
JINSI YA KUJIKINGA NA BAWASIRI .
🍀Kula vyakula vyenye nyuzi nyingi kama makoma ,
🍀Kunywa maji yakutosha,
🍀Usijikaze sana wakati wa haja kubwa,
🍀Jisadie haraka pindi unapohisi haja kubwa , ukichelewa kutoa kinyesi kinarudi na hisia hupotea , Choo kitakuwa kikavu na kigumu hata kushindwa kukitoa kutoka ,
🍀Fanya mazoezi ,
🍀Epuka kukaa chini sana . kukaa muda mrefu , haswa chooni kunaweza zidisha msukumo mkubwa wa mishipa kwenye dubri .
SHIFAA.
DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO .
INATIBU KWA UWEZO WA ALLAHU MAUMIVU NA DALII ZOTE ZA VIDONDA VYA TUMBO KAMA ,
TUMBO KUJAA GESI,
TUMBO KUWAKA MOTO,
TUMBO KUUMA,
KUHARISHA,
KUPATA CHOO KIGUMU,
MGONGO NA KIUNO KUUMA NA KUWAKA MOTO,
KUKOSA HAMU YA KULA,
DAWA INASAIDIA USAGANI WA CHAKULA NA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KABISA BIIDHINILLAH .
WASILIANA NASI SUBIRA TIBA ASILIA
+255 758200163.
+254 743101242.
HIZI NDIZO NAMBA RASMI ZA SUBIRA TIBA ASILIA .
CHANGO . watu wengi wanauliza chango ni nini ? Chango ni jina la kiswahili lipatikanalo kwa baadhi ya makabila ya kibantu. Maana ya chango ...