NJIA BORA YA KUNYONYESHA MTOTO.
Namna ya kunyonyeaha mtoto
🌹1.Hakisha mama amekaa kitako akiwa amegemea na awe na utulivu
🌹2.Mtoto alale juu ya sehem ya mbele ya mkono wa mama katika upande wa ziwa analotaka kunyonyoshwa huku kiganja cha mama kikishika makalio ya mtoto. Mfano mtoto ananyonyeshwa ziwa kushoto basi mtoto ashikiliwe na mkono wa kushoto
🌹3.Mtoto amuelekee mama huku tumbo la mama na la mtoto yakiwa yamegusana
🌹4.Sehemu nyeusi ya ziwa la mama iwe kwenye kinywa cha mtoto na Si chuchu pekee
🌹5.Ziwa la mama alishike kwa vidole vyake vinne katika sehem ya chini ya ziwa na kidole gumba kiwe juu
🌹6.Hakikisha kuwe na utulivu wakati wa kunyonyesha
🌹7.Mtoto awekwe begani baada ya kunyonyeshwa
NB:Ni kosa kunyonyesha mtoto huku mama akiwa amelala chini.
Mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama bila ya kuongezewa kitu chochote katika miezi 6 ya mwanzo.
..✍Mwandishi DR. ABUU HUDHAIFAH حفظه الله
Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia
+255758200163
+254743101242
DAR ES SALAM
TANZANIA.
🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.
▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️
No comments:
Post a Comment