Monday, June 8, 2020

DAWA PERA YA MARADHI MENGI

DAWA PERA (MAJANI).





HARUFU MBAYA YA KINYWA NA VIDONDA VYA MDOMNI (MOUTH ULCER).

Chemsha majani sita ya mpera dakika 10 sukutua kwayo .



MABAKA YA CHUNUSI (BLACK HEAD /MAKOVU YATOKANAYO NA MAJERAHA).

Saga majani ya mpera na maji kidogo sugulia sehemu zilizo athirika 


KUFUNGA KUHARISHA .

Chemsha majani ya mpera  kwa maji vikombe 4 kwa dk 5 kunywa nusu glass x5 kwa siku.


KUONDOA UKURUTU (ECZEMA).

Changanya unga wa majani yaliyo kauka ya mpera na maji kidogo pakaa sehemu zenye ukurutu. 1x2 siku 10


KANG`ATWA NA MDUDU.

Kamulia majani ya mpera mabichi sehemu uliyo ng`twa.


KUHARA DAMU (DYSENTARY),KUKOSA CHOO, TUMBO KUJAA GESI NA KUVURUGIKA TUMBO.

Chemsha mizizi na majani ya mpera kunywa kikombe moja  1X3 kila siku .



MAUMIVU YA VIUNGO (ARTHRITIS ).

Twanga majani ya mpera tia maji kidogo paka  sehemu zenye maumivu .


FUNGUSI ZA MIGUUNI.

Unga wa majani ya mpera changanya na maji kidogo . Paka katikati ya vidole vilivyo na fungasi (twanga unga uwe laini sana ).


UGONJWA WA FIZI.

Chemsha majani ya pera , Chumvi ,Pilipili manga (unga ) kwa dakika 5 sukutua x2 kwa siku .

KUTOONA VIZURI.

Kunywa glass moja ya majani ya mpera kila siku kwamwezi moja .


IMEANDLLIWA NA ABUU AJMI حفظه الله




________________________________


Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia

+255758200163
+254743101242

DAR ES SALAM
TANZANIA.

No comments:

CHANGO

CHANGO . watu wengi wanauliza chango ni nini ?  Chango ni jina la kiswahili lipatikanalo kwa baadhi ya makabila ya kibantu. Maana ya chango ...