Sunday, May 31, 2020

DAWA YA MAFUA , KIFUA CHAKUBANA/KIKAVU NA NIMONIA


DAWA YA MAFUA, KIFUA  KIKAVU NA NIMONIA.




MAHITAJI

YAI LA KIENYEJI 1,
ASALI VIJIKO 2, 

CHANGANYA NA KOROGA VIZURI.



MATUMIZI.

WAKUBWA KUNYWA YOTE 1X1 .

WATOTO CHINI YA MIAKA 8.

KIJIKO CHA CHAKULA X3 KWA SIKU .


FAIDA ZA DAWA HII KWA UWEZO WA ALLAHﷻ،


-Kutibu kifua kikavu na Nimonia,
-Kutibu Mafua,
-Kutibu mzio/Allergy ,
-Kuongeza na kuimarisha kinga ya mwili,
-Kuuwa baktria wabaya mwilini,
-Kuimarisha afya ya mwili.
 faida ninyingi sana.



MWANDISHI ABUU AJMI حفظه الله 

____________________


Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia


+255758200163

+254743101242


DAR ES SALAM

TANZANIA.



🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.


▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️



PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE.)

PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE.)


Pelvic Inflammatory Disease ( PID ) ni maambukizi katika viungo vya uzazi wanawake, yanayosababishwa na vimelea ama bakteria wanaosababisha magonjwa ya zinaa pindi hivyo vimelea ama bakteria wanapotoka katika mfumo wa mkojo na kwenda kuathiri viungo kwenye mfumo wa uzazi.






DALILI ZA PID.

▶Kupata maumivu wakati wa haja ndogo,
▶Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa,
▶Hedhi kuvurugiko,
▶Kutoa ute wenye harufu mbaya katika sehemu za siri na wenye rangi isiyo ya kawaida,
▶Kupata maumivu sehemu ya chini ya tumbo, au maumivu ya mgongo,
▶Homa,
▶Kutokwa damu(hedhi) baada ya tendo la ndoa,
▶Kuchoka sana ,
▶Mwili kuwa baridi,
▶Kukojoa mara nyingi,
▶Kupata maumivu makali ya vichomi wakati wa  hedhi ,
▶Kutokwa na damu nyingi sana au vitone tone au muda mwingine damu kutoka zaidi ya mara moja ndani ya  mwezi mmoja wa mzunguko,
▶Kutohisi njaa,
▶Kuhisi kichefuchefu na kutapika ,
▶Hedhi kupitiliza bila kutoka ,


Unaweza kuwa na PID na usipate dalili za hatari.

Kwa mfano, chlamydia inaweza kusababisha PID bila maumivu.

Wanawake ambao mimba hutunga nje ya mji wa uzazi (ectopic pregnancy) au wasio na uwezo wa kushika mimba hupata PID isababishwayo na chlamydia.


👉Ikumbukwe sio kila dalili tajwa hapo juu ni kwamba mtu ana PID laaa hasha bali kilicho sahihi ni mtu kufika kituo cha afya na kufanya vipimo pindi atakapokuwa na hizo dalili.




JINSI YA KUJIKINGA NA PID .


PID inaweza kutozuilika kwa sababu haisababishwi na bakteria wa zinaa pekee. Bacteria wa kawaida wanawza kusafiri hadi katika viungo vya uzazi na kusabibisha PID.
Kinga ni kukiepusha na haya, 

~Kuacha kusafisha uke kwa sabuni,
~Kushiriki tendo la ndoa na watu tofauti tofauti, 
~Kutumia Njia za kupanga uzazi kama IUS au IUD (Kutumia kiplastic kidogo chenye umbo la T kipandikizwacho katika kizazi na daktari au  nesi kuzuia mimba kutunga)
~Kusafisha kizazi, 
~Kulewa chakari kunapelekea kufanya maasi yanayopelekea maambukizi,

Kuepuka PID ni vyema kuepuka hayo tuliyotaja hapo juu. Muone Daktari haraka iwezekanavyo kwa dalili ndogo au chache ufanyiwe vipimo na Tiba hali ikiwa changa, bacteria hajadhiri viungo vingi vya uzazi .





WANDISHI ABUU NAWFAL MZAMIRU KATUNZI NA ABUU AJMI .





________________________

Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia

+255758200163
+254743101242

DAR ES SALAM
TANZANIA.


🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.

▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️


Saturday, May 30, 2020

UPUNGUFU WA TESTOSTERONE (MALE HYAPOGONADISM )


UPUNGUFU WA TESTOSTERONE (MALE HYAPOGONADISM )

Male hypogonadism au upungufu wa testosterone (testosterone deficiency) hutokana na pumbu kushindwa kuzalisha homoni ya kijinsia ya kiume testosterone, manii au vyote.

Upungufu wa testosterone unaweza kutokana na maradhi ya pumbu au hali inayo adhiri hypothalamus au pituitary glands.

Hypogonadism inaweza athiri viungo vingine utendaji wake na kuvidhofisha visiweze kufanya kazi ipasavyo.

Testosterone , ni homoni ya kijinsia ya mwanaume inayotengenzwa katika pumbu .

Kuwa na kiwango cha kutosha cha testosterone ni muhimu kwa ukuaji wa kawaida wa kijinsia wa kiume na utendaji.

Testosterone zinamsaidia mvulana kukuza au kuwa na maumbile ya kiume kama kuota ndevu , nywele za sehemu za siri na makwapa , sauti nzito , kuongezeka nguvu ya misuli, kurefuka na kunenepa uume na pumbu kuongezeka wakati wa balekhe na pia inasaidia uzalishaji wa seli nyekundu za damu .

Wanaume wanahitaji testosterone kutengeneza manii (sperm) na seli nyekundu za damu .

Kiwango cha testosterone hupungua kadiri umri wa mtu unavyo ongezeka (uzee ).

Baadhi ya wanaume wana kiwango kidogo cha testosterone (Testosterone deficiency syndrome TD au Low Testosterone Low -T)

(DEFICIENCY) Upungufu wa testosterone , Inamaanisha mwili hauna kiwango cha kutosh kinachohitajika.

(Syndrome) Mjumuiko wa dalili ambazo kwa ujumla zinaashiria maradhi au hali ya kiafya .

Tatizo la upungufu wa testosterone homoni (Testosterone deficiencies sydrome) linatambulika kwa majina mengine kama;

🔸Male hypogonadism
🔸Testosterone deficiency,
🔸Primary hypogonadism,
🔸Secondary hypogonadism, 🔸Hypergonadotrophic hypogonadism,
🔸Hypogonadotrophic hypogonadism.



Wanaume wanaweza kuadhirika na upungufu wa testosterone katika umri wowote tangu kubalekhe kwa kutofautiana dalili na adhari. 

DALILI ZA UPUNGUFU WA TESTOSTERONE (MALE HYPOGONADISM)

Dalili na ishara zinategemea na ukomavu wa kijinsia na  rika lamgonjwa .


DALILI ZA UPUNGUFU WA TESTOSTERONE KABLA AU WAKATI WA KUBALEHE 

Kama upungufu wa testosterone kabla au wakati wa kubalehe dalili zitakuwa kama hizi 

▶Kuchelewa kubalekhe,
▶Pumbu na Uume kudumaa (kutoongezeka ukubwa)
▶Uhaba au kutoota ndevu na nywele seheme za siri 
▶Sauti kutobadilika au kuwa na sauti laini  ya kike.
▶Upungufu au pumbu kutozalisha manii na kusababisha ugumba
▶Mafupa kuchelewa kupevuka kulingani na umri (Kipindi cha balehe , mvulana mwenye testosterone chache hutokea muda mwingine akawa dhaifu wa mwili na mikono na miguu kukua bila uwiyano na mwili wake (kurefuka mikono na miguu zaidi ya umbile la mwili au kuwa mifupi).

DALILI ZA UPUNGUFU WA TESTOSTERONE KWA MWANAUME ALIYEFIKIA UKOMAVU WA KIJINSIA.

▶Kukosa hamu ya tendo la ndoa na uume kuwa legelege na kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu,




▶Kuchoka sana,
 ▶Kukosa uzingativu na ari,
▶Ndevu na nywele za sehemu za siri kutoota au kuwa chache,
▶Kupungua ujazo wa manii,
▶Pumbu kuwa laini sana na ndogo,
▶Kubadilika mihemko,
▶Kuongezeka mafuta mwilini,
▶Chuchu kutuna kama za binti (gynaecomastia),
▶Mifupa kuwa laini na mepesi hupelekea kuvunjika kirahisi (osteoporosis),
▶Kupungua misuli kujazia na nguvu ya mwili kuwa ndog,
▶Ngozi na uso kukunjana,
▶Kutoa jasho sana.

kwa dalili kama kuchoka mihemko  kubadilika vinaweza kuwa na visababishi vingine  tofauti tofaut.



MADHARA YA TESTOSTERONE KUWA NYINGI KWA MWANAUME.

Kiwango cha testosterone kinapokuwa kingi mwilini kinamadhara kwa wanaume kubalehe mapema chini ya miaka 9.

Kuzidi kwa testosterone kwa watu waliokwisha balehe hakuna madhara .

Kwa wanawake testosterone  kuwanyingi kunasababisha madhara kama;

▶Kuvurugika mzunguko wa hedhi ,
▶Upara ,
▶Souti nzito,
▶Ukuaji na uvimbe wa clitoris,
▶Umbo kuwa kama mwanaume,
▶Matiti kuwa madogo sana,
▶Ngozi kuwa na mafuta mengi,
▶Chunusi,
▶Kuota ndevu na masharubu,
▶Kusabisha uvimbe kwenye kizazi.


VISABABISHI VYA TESTOSTERONE KUWA NYINGI KWA WANAWAKE .

Moja ya sababu ya wanawake kuwa na kiwango kingi cha testosterone ni kufanya mazoezi mazito , maradhi au  mabadiliko ya  homoni,

Sababu kuu za testosterone kuwanyingi kwa wanawake  ni ;   hirsutism, polycystic ovary syndrome, na congenital adrenal hyperplasia.

1. Hirsutism

Hirsutism, ni hali ya homoni inayosababisha ukuwaji wa nywele zisizohitajika kwa mwanamke kama mgongoni , kifuani . Kiwango cha nywele hutegemea sababu za kurithi ila kwa hali hii husababishwa na androgen homoni kutowiyana.

2. Polycystic ovary syndrome

Polycystic ovary syndrome (PCOS), hili ni tatizo lingine la homoni lisababishwalo na kiwango kikubwa cha androgen hormones kwa wanawake.

Kama mwanamke ana PCOS , 
▶hedhi huvurugika na  zinaweza kutoka kwa muda mrefu,
▶Kuota nywele zisizohitajika na ovari kupanuka na kutofanya kazi vizuri,
▶Ugumba,
▶Mimba kutoka,
▶Kisukari type 2,
▶Unene,
▶Kansa ya Endometrial,


3. Congenital adrenal hyperplasia ( CAH )

Congenital adrenal hyperplasia (CAH),
Hili ni tatizo linalo athiri moja kwa moja adrenal glands na uzalishaji wa homoni mwilini.
CAH , Kwa hali nyingi mwili huzalisha androgen kupita kiasi.

Daliliza tatizo hili kwa wanawake ;

▶Ugumba,
▶Tabia za kiume,
▶Kuota nywele sehemu za siri mapema sana,
▶Chunusi nyingi.


BAADHI YA VYANZO VYA UPUNGUFU WA TESTOSTERONE KWA WANAUME.

Kadri mtu anavyozeeka, kiwango cha testosterone mwilini mwake hupungua hatua kwa hatua. Kupungua kwa asili hii huanza baada ya umri wa miaka 30 na inaendelea (karibu 1% kwa mwaka) katika maisha yake yote. Kuna sababu nyingine nyingi zinazosababisha testosterone kupungua ni pamoja na zifuatazo:


 1. Kuumia (maumivu, kuingiliwa/kutatizwa usambazaji wa damu kwanye kende) au maambukizi ya kende (orchitis),
2. Matumizi ya dawa za kemikali kutibu saratani (Chemotherapy),
3. Matatizo ya mfumo wa utendaji kazi wa mwili (Metabolic) kama kuongezeka madini ya chuma mwilini (hemochromatosis),
4. Kutokufanya kazi vizuri tezi zinazotawala na kudhibiti utendaji kazi wa homoni zingine katika mwili (Pituitary grands),
5. Matumizi ya Dawa za Hospitali, pamoja na homoni zinazotumiwa kutibu saratani ya kibofu cha mkojo, na homoni kama vile (prednisone),
6. Magonjwa ya muda mfupi au sugu (ya muda mrefu),
7. Unywaji pombe,
8. Kovu tishu  za ini (Cirrhosis of the liver),
9. Matatizo sugu ya figo hadi kupelekea kushindwa kufanya kazi,
10. Maambukizi ya VVU / UKIMWI,
11. Hali ya uchochezi kama (sarcoidosis) hali ambayo husababisha uvimbe wa mapafu na viungo vingine,
12.Maendeleo yasiyo ya kawaida ya tezi ya hypothalamus, (tezi katika ubongo ambayo inadhibiti homoni nyingi),
13. Klinefelter syndrome hali ya maumbile ambayo mwanaume huzaliwa nayo akiwa  nakala ya ziada ya chromosomu ya X. Pia inaitwa syndrome ya XXY,
14. Viwango vya juu vya  maziwa yanayozalisha homoni ya prolactini,
15. Unene au kupungua kwa uzito kupita kiasi,
16. Aina isiyodhibitiwa ugonjwa wa kisukari daraja la pili,
17. Kuzaliwa na kasoro (Inayotokea wakati wa kuzaa),
18 Kizuzi cha usingizi kisababishwacho na kushindwa kupumua kwa muda(Apnea  a temporary cessation of brething),
19. uzee,
20. Upungufu wa estrojeni. (kawaida hutoka kwa chanzo cha nje au kimazingira),
21. Matumizi ya dawa za kunenepesha au kusisimua misuli,
22. Kukosekana msingi sahihi wa uzalishaji homoni zinazodhibiti mfumo wa utendaji kazi mwilini (Hypothyroidism),
23. Kuchelewa kubalehe,
24. Maumivu ya kichwa(Trauma),
25. Mfiduo wa mionzi au upasuaji wa ubongo uliotangulia,


BAADHIA YA NJIA ASILI ZA KUONGEZA KIWANGO CHA TESTOSTERONE.

▶Kupunguza uzito kwa wenye uzito uliopitaliza,
▶Kufanya mazoezi,
▶Kufanya mazoezi ya kujihami ya kuimarisha misuli,
▶Kulala vyakutosha, 
▶Kupunguza msongo wa mawazo.
▶Kula vyakula vyenye alkaline 

Uzindushi kwa wazazi , upungufu wa testosterone kwa wavulana wanao balehe unachangiwa vile vile na mfumo wa maisha ikiwemo lishe mbovo. chango la watoto ni chanzo kikubwa katika jamii zetu.

Mtaftie tiba/ufumbuzi mwanao haraka kwadalili hizi,(MUONE DAKTARI)

▶Tumbo kuuma,kuharisha, kusokota kukosa choo mara kwa mara,
▶Vidonda vya tumbo,
▶Kukosa hamu ya kula
▶Kuzubaa na kutokuwa mchangamfu
▶Maradhi kama sikosel , Sukari , Ngiri n.k
▶Huzuni na kutokuwa na furaha 
▶Michezo ya hatari inayopelekea kuumia kende.


NJIA ZA KUDHITI UPUNGUFU WA TESTOSTERONE.

Hizi ni baadhi ya njia zilizotumiwa na wazee kuwakinga watoto na maradhi mbalimbali ikiwemo kuimarisha kinga ya mwili .

1. Mazoezi, mtoto apate muda wa kutosha wa kucheza,

2. Kila mwezi wape 10mls mafuta ya nyonyo ili kuondoa matatizo ya chango
(Kila kabila lina njia asili walizotumia kuondoa sumu mwilini na mlundikano wa taka vizuri kuwauliza upate kujua zaidi).

3. Wape watoto kila siku kimoja wapo ya hivi,(Hata wakubwa ni tiba nzuri kwao kwa Afya ya mwili kwa kuzifanya homoni ziwiyane ipasavyo)

A. Mafuta ya habat saudaa kijiko cha chakula 1x1 (mazuri sana ),
B.  ASali kijiko kikubwa 1X1,
C. Mafuta ya zaytuni kijiko kikubwa (extra virgin)1X1,
D. Mafuta ya nazi kijiko kikubwa (extra virgin)1X1.


Kwa dalili au Ishara za upungufu wa testosterone muone daktari akufanyie uchungu kwa vipimo tatizo libainike nilipi.




MWANDISHI ABUU AJMI حفظه الله







________________________

Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia

+255758200163
+254743101242

DAR ES SALAM
TANZANIA.


🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.

▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️

⛔️TAHADHARI CORONA IPO
⛔️EPUKA MIKUSANYIKO 
⛔️NAWA MIKONO NA ACHA KUWAPA MIKONO WENGINE
💯TULIZANA NYUMBANI KAMA HUNA ULAZIMA WA KUTOKA


Friday, May 29, 2020

FAIDA ZA MKUNAZI

MKUNAZI

FAIDA ZA MKUNAZI KWA UWEZO WA ALLAHﷻ

Mkunazi ni mti wenye virutubisho vingi vyenye faida katika mwili wa binadam vinavyo imarisha kinga ya mwili.

Majani, mau, matunda na Asali itokanayo na mti huu  vyote ni dawa.

FAIDA ZA ASALI YA MKUNAZI.

Inapatikana nchini Yemen

MATUMIZI YA ASALI YA MKUNAZI.

Kunywa Kijiko cha chakula X3 kwa siku.

Au chnganya na mafuta ya habat saudaa au limao au maji moto  kimoja wapo changanyia kwa matokeo mazuri zaidi.

1. Kuongeza kinga ya mwili
2. Kutibu madonda 
3. Kutibu kukojoa kitandani
4. Kuimarisha afya ya nywele
5. Kuongea nguvu za kiume (changanya na karroti au tikiti maji glass moja asali ya mkunazi vijiko vitano kunywa kaa nusu saa fanya jimai)
6. Inatibu maumivu ya tumbo
7. Tiba ya  maradhi ya nyemelezi 
8. Tiba ya baadhi ya cancer 
9. Inasaidia usagaji wa chakula
10. Kinga na Tiba ya maradhi ya Ini 
11. Inatunza ngozi
12. Inasaidia kupata choo vizuri
13. Tiba ya magonjwa ya macho

FAIDA ZA MAJANI YA MKUNAZI KWA UWEZO WA ALLAHﷻ،

Majani ya mkunazi yana Antioxidants, linoleic acid, Ambazo husaidia

1. Yanasaida kuongeza Damu
2. Kinga dhidi ya maradhi ya Ini 
3. Yanaongeza kinga ya mwili
4. Tiba ya maradhi ya fizi
5. Yanatibu maumivu ya Mwili
6. Yanatibu kiungulia
7. Yanatoa Sumu mwilin
8. Yana Tibu Minyoo
9. Yanatoa gasi tumboni
10. Yanazuia Kuharisha
11. Yanatibu Kuvimba/kufura tumbo
12. Yanatibu Kifua na matatizo ya mapafu 
13. Yanatibu muasho wa koo .
14. Yanaondoa tatizo la kubanja (makohozi kifuani)
15. Yanaondoa Sumu mwilini , kwenye damu na bacteria wabaya.
16.  Yanatibu Insomnia (kukosa usingizi)
17. Yanatuliza mishipa nakuipa utulivu hali ambayo husaidia kupunguza  msongo wa mawazo na mifadhaiko.
18. Yanaondoa Uchovu, uvivu na kuupa mwili nguvu.
19. Yanapunguza Joto kali la mwili
20. Yanapunguza kutoa jasho jingi kupita kiasa haswa kipindi cha joto.
21. Yanatibu magonjwa ya ngozi (mapele) na yanazuia kusambaa kwa malengelenge.
22. Yanatibu chunusi nakuondoa makovu.
23. Yanatibu hedhi zilizo vurugika na maumivu kabla ya hedhi (PMS)
24. Yanasaidia kutibu chango la wanawake
25. Yanatibu sihiri (Mwanaume/Mwanamke aliyefunngwa asiweze kufanya tendo la ndoa na mkewe/mumewe

KUTIBU SIHIRI YA MAFUNDO.

MKE AU MUME ALIYEFUNGWA ASIWEZE KUMUINGILIA MKEWE.

🍃Chukua majani saba mabichi ya mkunazi ya twange vizuri.

Yatie kwenye chombo chenye maji

Ukaribize mdomo karibu na maji huku ukiyakoroga majani katika maji naukisoma Ayatul Kursy na (Mu`awwidhati) 

mpe mgonjwa anywe na kuogea maji haya siku kadhaa  kwa uwezo wa Allahﷻ  Sihiri na Mafundo yatabatilika.

🍃JINSI YA KUTUMIA MAJANA KUTIBIA MARADHI MBALIMBALI.

1. tiba ya kinywa na fizi
ya twange kuisha loweka majani kwenye maji moto kwa masaa matatu kisha chuja.

tumia kusukutua.

2. Kukosa usingizi, kutoa sumu mwilini, tumbo kujaa gesi maumivu ya hedhi n.k

🍃Pika chai ya majani ya mkunazi kunywa 400mls

(kwa matumzi zaidi wasiliana nasi)

FAIDA ZA TUNDALA MKUNAZI

1. Yanaimarisha Afya ya mjamzito (mama na mtoto tumboni)
2. Yanampa mjauzito hamu ya kula
3. Yanaimarisha kinga ya mwili
4. Kinga dhidi ya maradhi mengi
5. Yanaupa nguvu na nishati mwili
(Inashauriwe mja mzito ale matunda machache sana ).

_________
WASILIANA NASI KWA DAWA NZURI ZA KISUNAH NA MITISHAMBA ZA MARADHI KAMA 

1. SHIFAA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO 
2. AL-WARAM DAWA  UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS/ MAYOMA).
3. HERMORRHOIDS KEY DAWA YA BAWASIRI/ MGORO 
4. RIJALI EXTRA DAWA YA  NGUVU ZA KIUME 
5. DAWA YA KISUKARI 
6. DAWA YA PRESHA 
7. DAWA YA KUPUNGUZA UNENE 
8. LUBEGHO THERAPY DAWA YA NGIRI 
9. DAWA YA PUMU 
10. DAWA CHANGO LA UZAZI 
11. TEZI DUME
12. PID N.K
___________




Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia

+255758200163

+254743101242

DAR ES SALAM
TANZANIA.

🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.

▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️

⛔️TAHADHARI CORONA IPO
⛔️EPUKA MIKUSANYIKO
⛔️NAWA MIKONO NA ACHA KUWAPA MIKONO WENGINE
💯TULIZANA NYUMBANI KAMA HUNA ULAZIMA WA KUTOKA



DAWA ASILIA YA FIBROID /MAYOMA UVIMBE KWENYE KIZAZI

FIBROIDS /MAYOMA (UVIMBE KWENYE KIZAZI).



JE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU UNA NDUGU JAMAA AU RAFIKI MWENYE TATIZO HILI ?

USIWAZE SANA, JIPATIE DAWA MUJARABU KWA UWEZO WA MOLA INAYOMALIZA UVIMBE KWENYE KIZAZI BILA UPASUAJI.

Mayoma, Ni uvimbe usiyokuwa na kansa  unakua katika tabaka la misuli ya kizazi katika tissue zinazozunguka kizazi.

Uvimbe unaanza kwa kukua kwa misuli laini kama ukubwa wa harage kisha kuwa kubwa kama tikitimaji.

Kwa kawaida ukuaji wa uvimbe huanza katika umri wa miaka 16 hadi 50.

Hii ndiyo miaka ya uzazi ambapo kiwango cha estrogen huwa juu .

KUNA AINA NNE (4) ZA MAYOMA (FIBROIDS).










Uainishaji wa aina za fibriods unategemea na sehemu ilipo katika Mji wa Kizazi .

INTRAMURAL FIBROIDS; 

Aina hiihutokea katika misuli ya kuta za kizazi 
Hii ndio aina ya  mayoma inayowatokea wanawake wengi.

SUBSEROSAL FIBROIDS; 

Hukua ndani ya safu ya nje ya tishu ya kizazi na kupanua ukuta unaozunguka  Mji wa kizazi.
Uvimbe kama huu Unaweza kukua zaidi na kua Pedunculated fobriods huenda ukawa uvimbe mkubwa sana.

SUBMUCOSAL FIBROIDS; 

Hutokea kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za mji wa uzazi.
Inaweza kushinikiza (kujisukuma) ndani ya uwazi  (cavity) wa mji wa uzazi.

CERVICAL FIBROIDS; 

Aina hii hujijenga kwenye shingo ya Tumbo la  kizazi (cervix).

DALILI ZA MAYOMA (FIBROIDS)

♦️Damu ya hedhi kutoka Nyingi , nzito, na maumivu wakati wa siku za hedhi (Menorrhagia).

♦️Upungufu wa damu kutokana na damu kutoka nyingi.

♦️Maumivu ya kiuno, mgongo au mguu .

♦️Kukosa choo au kupata choo kama cha mbuzi kwa tabu 

♦️Maumivu chini ya kitovu

♦️Kukojoa mara kwa mara 

♦️Maumivu wakati wa tendo la ndoa (Dyspareunia )

♦️Matatizo ya kushika mimba , kubeba mimba na kuzaa

♦️Mimba kutoka mara kwa mara 

♦️Kama fibroids ni kubwa sana ,Uzito unaweza kuongezeka na chini ya kitovu kuvimba .

Upatapo mojawapo ya dalili hizo fika kituo cha afya kwa vipimo zaidi.

kwa mahitaji ya dawa ya uhakika ya fibroids wasilian nasi +255758200163.


✍۔MWANDISHI ABUU AJMI حفظه الله


DAWA YA FIBROIDS .




DAWA HII NI BEI RAHISI SANA KARIBU UPONE FIBROIDS BILA UPASUAJI KWA UWEZO WA MOLA MLEZI.





Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia

+255758200163

+254743101242

DAR ES SALAM
TANZANIA.


🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.

▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️

⛔️TAHADHARI CORONA IPO
⛔️EPUKA MIKUSANYIKO
⛔️NAWA MIKONO NA ACHA KUWAPA MIKONO WENGINE* 
💯TULIZANA NYUMBANI KAMA HUNA ULAZIMA WA KUTOKA

CHANGO

CHANGO . watu wengi wanauliza chango ni nini ?  Chango ni jina la kiswahili lipatikanalo kwa baadhi ya makabila ya kibantu. Maana ya chango ...