Sunday, May 31, 2020

DAWA YA MAFUA , KIFUA CHAKUBANA/KIKAVU NA NIMONIA


DAWA YA MAFUA, KIFUA  KIKAVU NA NIMONIA.




MAHITAJI

YAI LA KIENYEJI 1,
ASALI VIJIKO 2, 

CHANGANYA NA KOROGA VIZURI.



MATUMIZI.

WAKUBWA KUNYWA YOTE 1X1 .

WATOTO CHINI YA MIAKA 8.

KIJIKO CHA CHAKULA X3 KWA SIKU .


FAIDA ZA DAWA HII KWA UWEZO WA ALLAHﷻ،


-Kutibu kifua kikavu na Nimonia,
-Kutibu Mafua,
-Kutibu mzio/Allergy ,
-Kuongeza na kuimarisha kinga ya mwili,
-Kuuwa baktria wabaya mwilini,
-Kuimarisha afya ya mwili.
 faida ninyingi sana.



MWANDISHI ABUU AJMI حفظه الله 

____________________


Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia


+255758200163

+254743101242


DAR ES SALAM

TANZANIA.



🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.


▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️



No comments:

CHANGO

CHANGO . watu wengi wanauliza chango ni nini ?  Chango ni jina la kiswahili lipatikanalo kwa baadhi ya makabila ya kibantu. Maana ya chango ...