Tuesday, June 2, 2020

DAWA TENDE YA MAGONJWA MENGI

TENDE DAWA YA MARADHI MENGI.


KUPATA CHOO KWA TABU (CONSTIPATION)

▶Loweke tende tano kwa maji glass moja ya vugu vugu usiku kunywa kila siku asubuhi kabla hujala chochote 1X1 kwa siku wiki 1 .



KUONGEZA KINGA YA MWILI.

▶Unga wa tende vijiko 2,
▶Asali vijiko 6,
▶Mafuta ya habat saudaa 6,
▶Maji moto kikombe kimoja,

Changanya vizuri kunywa 1x1 kila siku 



                                AU 

Kula tendo tano kwa kijiko kimoja cha habat saudaa Asubuhi na usiku kila siku .






KUWAHI KUFIKA KILELENI.

▶Unga wa tende kijiko cha chakula kimoja,
▶Maziwa glass moja ,
▶Asali vijiko viwili vya chakula,
 changanya kunywa ( (Kabla ya kulaa na asubuhi kabla hujala chochote ) 1x2 kwa siku.

KUTOONA VIZURI SEHEMU YENYE KIZA (NIGHT BLINDNESS).

▶Tende  5,
▶Habat saudaa kijiko cha chakula 1
▶Karoti 2. kadiria maji kiasi blend 

kunywa  kila siku .
Ukikosa vingine kula tende kila siku.



JINO KUUMA 

⚡Chemsha mizizi ya tende dakika 10 sukutua mara tatu kwa siku.

KUTOSIMAMISHA UUME VIZURI (UUME LEGELEGE ).

▶Tende 5, ( toa tembe kausha )
▶Kiganja kimoja cha mbegu za maboga,
▶Almonds 5,

Saga viwe unga tia kijiko kidogo cha chai kwenye maziwa kunywa x3 kwa siku wiki tatu utakuwa Mbogo mtu .

                                AU,

▶Kiganja kimoja cha majani ya tende  ya ponde kisha loweka na maji kiasi .

chuja changanya na Asali kunywa 1x3 kila siku  .

UPUNGUFU WA DAMU NA MAZIWA YA KUNYONYESHA KUTOKA KIDOGO.

▶Loweka tende tatu kwenye glass ya maziwa usiku , kunywa mapema asubuhi kabla hujala chochote.

                            AU 
▶Kula tende 4 kwa maziwa moto kabla ya kulala, 


PURUKUSHANI ZA RIJALI EXTRA.



(wasiliana nasi ujipatie dawa nzuri Rijali Extra ya nguvu za kiume).



UPUNGUFU WA MANII KWENYE SHAHAWA (OLIGOSPERMIA).

⚡Loweka tende tano kwenye maziwa ya mbuzi yaache yatulie lisaa limoja kisha blend .

Kunywa mapema asubuhi kabla hujala chochote na Asubuhi lisaa kabla hujalala.



MAFUA 

Chemsha tende 4  kwa maziwa glass moja 
kunywa 1x1 kila siku 






Mwandishi Abuu Ajmi حفظه الله 




_____________________________________


Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Subira Tiba Asilia


+255758200163

+254743101242


DAR ES SALAM

TANZANIA.





🔴TUWEWAADILIFU USIBADILI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.


▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️


No comments:

CHANGO

CHANGO . watu wengi wanauliza chango ni nini ?  Chango ni jina la kiswahili lipatikanalo kwa baadhi ya makabila ya kibantu. Maana ya chango ...