Friday, July 17, 2020

CHANGO

CHANGO .

watu wengi wanauliza chango ni nini ? 

Chango ni jina la kiswahili lipatikanalo kwa baadhi ya makabila ya kibantu.

Maana ya chango ni mjumuiko  maradhi ya tumbo (mfumo wa usagaji chakula ) na mfumo wa uzazi .



AINA ZA MACHANGO .

1. CHANGO LA NGIRI ,

Ni mjumuiko wa maradhi ya tumbo na uzazi kwa asilimia kubwa kwa jinsia kiume .

Ngiri ni hali ya utumbo kushindwa kujishikiza katika kuta zake na kupenya sehemu dhaifu ya tumbo na kupenyeza sehemu isiyokuwa yake ya asili na kutuna katika kitovu au kupenya na kuingia sehemu ya korodani hii inajumuisha matumbo kusokota na kuuma sana, kukosa choo na miwasho sehemu za siri (bawasiri), kwenye mapaja na nyuma ya muundi .

Kwa mwanamke ngiri ni maradhi ya tumbo ambayo haswa huwa femoral hernia.

Kinyume na femoral hernia mwanamke haingi katika maradhi ya ngiri bali itsemwa ana chango .


Misokoto ya tumbo ya watoto ujumla wake huitwa chango la watoto ikiwa ni pamoja na kukosa choo . Ikidhibitika utumbo umepenya katika kuta za tumbo itaitwa ngiri ima ngiri ya kitovu,ngiri maji  au zinginezo .


Maradhi kama busha, tezi dume, uti,pid na maradhi ya ngono sio katika chango.


2. CHANGO LA UZAZI 


A.  KIGUMA/FUNGASI.

Kiguma au fungus zinazo kusudiwa katika tiba asilia ni fungus za kwenye kizazi na za tumboni .

B. UVIMBE KWENYE KIZAZI/KUZIBA MIRIJA YA UZAZI 

Hizi ni vimbe viotazo nje au ndani ya kizazi au katikati ya kuta za kizazi au katika mirija ya uzazi , au mirija ya uzazi kuziba au kujaa maji kizazi au kuta za kizaza kunenepa hutambulika kama chango

B. HEDHI KUVURUGIKA 

Chango hili linajumuisha maumimu kabla au wakati au baada ya hedhi,
kuosa hamu ya tendo la ndoa na kutoshika ujauzito.
Hedhi kuvurugika kutoka kwa wingi sana au chache , kutoka zaidi ya mara moja kwa mwezi au kutokutoka kabisa hizi zote ni dalili ya chango la uzazi.

C . MAYAI KUTOPEVUKA 

Mayai ya mwanamke kukosa uwezo wa kupevuka na kushika ujauzito au mimba kushika na kutoka au mimba kutunga nje ya kizazi.

3. CHANGO LA SIHIRI.

Chango la sihiri linajumuisha maradhi yatokanayo na sihiri ya tumboni na viungo vya uzazi ambayo asili yake ni sihiri ima ni jini au uchawi .

mfano wa dalili za chango la sihiri, matatizo ya tumbo au uzazi ambayo katika vipimo vya hospitali tatizo halionekani japo mgojwa anamaradhi au kapata dalili haswa za sihiri  .


Dalili za chango zitategemea na aina ya chango husika.

Uhalisia chango ni haswa kwa maradhi ya wanawake ya uzazi. wanaume itaitwa chango la  ngiri hatakama sehemu ya utumbo haijatokeza nakupenya katika sehmu dhaifu.



IMEANDALIWA NA ABUU AJMI 

________________________


kwa tiba na ushauri wasiliana na subira tiba Asilia .

https://t.me/Subratibaasilia


+255 75800163.

+254 743101242.

DAR ES SALAM .

TANZANIA .

TUWE WAADILIFU USIBALI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.

Thursday, July 2, 2020

MAFUTA YA NAZI HUPUGUZA KUPANUKA TEZI DUME

*TAFITI KUBAINI ATHARI YA MAFUTA YA NAZI KTK UVIMBE WA TEZI DUME UNAOSABABISHWA NA HOMONI YA KIUME,KUPITIA PANYA(sprague Dawley)*

Kabla ya kutoa tarjama ,ntangulize maelezo haya ;

>Tafit/majaribio mengi za binadamu wanatumika wanyama wanaokaribia mfanano wa kimwili mfano Sungura ,panya nk

>Kila mwanaume ana tezi dume na kazi yake huwa ni kuzalisha majimaji mepesi,hutoka pamoja na manii .

>Tezi dume si korodani(kende).
> kende huzalisha mbegu(manii) na Tezi duma majimaji tu .

>kuhusu Uvimbe wa Tezi ,hakuna sababu maalum inayojulikana  lkn kuna nadharia(theories) . Imeonekana uvimbe husababishwa homoni ya kiume "Dihydrotestosterone (DHT)" ,ambayo hutokana Testosterone(TS) inayozalishwa na korodani .
>Tunahitaji TS ,lkn kuna  enzyme (5alpha reductase) hubadilisha kuwa DHT .

>Hospitalin watu wenye uvimbe hupewa 'Finasteride' dawa ambayo huzia huyu enzyme asibadili TS -->DHT .

*UTAFITI* ;

Uvumbe wa tezi dume(BPH) hutokea pindi tezi hii hukua kwa kasi(hyperplasia) na kupelekea ugumu wa mkojo kupita.

Kuna mafuta aina ya SPLE yamekuwa yakitumika kutibu uvimbe huu ,kwani nayo huzuia enzyme (5reductase) kubadili TS --->DHT .Tunajua DHT ndio husababisha Uvimbe.
Mafuta haya ya SLPE yana lauric, myristic and oleic acids  .Mafuta ya nazi nayo yana lauric acid na myristic acid kama SLPE.
Hivyo basi tukachunguza Mafuta ya Nazi kubaini kama nayo yataweza kutibu/kupunguza Uvimbe.

Tukatumia makundi 7 kila moja likiwa na panya 10.
Kundi 1 tunakalipa mafuta ya soya na makundi 6 yalobaki tunakayapa homoni ya kiume ili kukuza kwa kasi tezi dume zao .


Baada ya muda tukaanza matibabu kwa muda wa siku 14. Baadhi wakatibiwa kwa mafuta ya SLPE na baadhi kwa Mafuta ya nazi na baadhi kwa mafuta ya alizeti .

Baada ya muda tukawaua na kutazama ukubwa/uzito wa tezi dume zao .Majibu yakawa hivi Wale walotibiwa kwa mafuta ya SLPE na NAZI inakaonekana tezi dume zao kupungua sana uzito kwa asilimia 61.5% na 85% .

Hitimisho ; Imethibitisha mafuta ya Nazi yana punguza uvimbe wa Tezu dume ,hii ni kwa sababu yana lauric na myristic  acids ambazo huzia DHT kutengenezeka.


NIMEJARIBU KUFUPISHA MAELEZO ILI KUPATA MAUDHUI.

Maoni ;

>Kuna uelewa upo mtaani ,juu NAZI /MADAFU kuwa yanahusisha na tatizo la BUSHA ,Si kweli . Hakuna uhusiano ,busha zinasabishwa na filarias wanaonezwa na aina ya mbu ,na mbu hawa hupatikana baadhi ya maeneo mf;pwani.

>Kuna tofauti ktk Saratani ya Tezi dume na Uvimbe huu .
Kuhusu saratani ya Tezi hii inasemekana ulaji wa nyama nyekundu,Maziwa , sigara na pombe vinahusishwa nayo lkn hakuna ushahid wa kutosha .


Barakallahu fiikum.




IMEANDALIWA NA ABAA MAYSARAH ,MD. حفظه الله

________________________


kwa tiba na ushauri wasiliana na subira tiba Asilia .

https://t.me/Subratibaasilia


+255 75800163.

+254 743101242.

DAR ES SALAM .

TANZANIA .

TUWE WAADILIFU USIBALI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.

MAFUTA YA NAZI HUPUGUZA KUPANUKA TEZI DUME

TAFITI KUBAINI ATHARI YA MAFUTA YA NAZI KTK UVIMBE WA TEZI DUME UNAOSABABISHWA NA HOMONI YA KIUME,KUPITIA PANYA(sprague Dawley)

Kabla ya kutoa tarjama ,ntangulize maelezo haya ;

>Tafit/majaribio mengi za binadamu wanatumika wanyama wanaokaribia mfanano wa kimwili mfano Sungura ,panya nk

>Kila mwanaume ana tezi dume na kazi yake huwa ni kuzalisha majimaji mepesi,hutoka pamoja na manii .

>Tezi dume si korodani(kende).
> kende huzalisha mbegu(manii) na Tezi duma majimaji tu .

>kuhusu Uvimbe wa Tezi ,hakuna sababu maalum inayojulikana  lkn kuna nadharia(theories) . Imeonekana uvimbe husababishwa homoni ya kiume "Dihydrotestosterone (DHT)" ,ambayo hutokana Testosterone(TS) inayozalishwa na korodani .
>Tunahitaji TS ,lkn kuna  enzyme (5alpha reductase) hubadilisha kuwa DHT .

>Hospitalin watu wenye uvimbe hupewa 'Finasteride' dawa ambayo huzia huyu enzyme asibadili TS -->DHT .

*UTAFITI* ;

Uvumbe wa tezi dume(BPH) hutokea pindi tezi hii hukua kwa kasi(hyperplasia) na kupelekea ugumu wa mkojo kupita.

Kuna mafuta aina ya SPLE yamekuwa yakitumika kutibu uvimbe huu ,kwani nayo huzuia enzyme (5reductase) kubadili TS --->DHT .Tunajua DHT ndio husababisha Uvimbe.
Mafuta haya ya SLPE yana lauric, myristic and oleic acids  .Mafuta ya nazi nayo yana lauric acid na myristic acid kama SLPE.
Hivyo basi tukachunguza Mafuta ya Nazi kubaini kama nayo yataweza kutibu/kupunguza Uvimbe.

Tukatumia makundi 7 kila moja likiwa na panya 10.
Kundi 1 tunakalipa mafuta ya soya na makundi 6 yalobaki tunakayapa homoni ya kiume ili kukuza kwa kasi tezi dume zao .


Baada ya muda tukaanza matibabu kwa muda wa siku 14. Baadhi wakatibiwa kwa mafuta ya SLPE na baadhi kwa Mafuta ya nazi na baadhi kwa mafuta ya alizeti .

Baada ya muda tukawaua na kutazama ukubwa/uzito wa tezi dume zao .Majibu yakawa hivi Wale walotibiwa kwa mafuta ya SLPE na NAZI inakaonekana tezi dume zao kupungua sana uzito kwa asilimia 61.5% na 85% .

Hitimisho ; Imethibitisha mafuta ya Nazi yana punguza uvimbe wa Tezu dume ,hii ni kwa sababu yana lauric na myristic  acids ambazo huzia DHT kutengenezeka.


NIMEJARIBU KUFUPISHA MAELEZO ILI KUPATA MAUDHUI.

Maoni ;

>Kuna uelewa upo mtaani ,juu NAZI /MADAFU kuwa yanahusisha na tatizo la BUSHA ,Si kweli . Hakuna uhusiano ,busha zinasabishwa na filarias wanaonezwa na aina ya mbu ,na mbu hawa hupatikana baadhi ya maeneo mf;pwani.

>Kuna tofauti ktk Saratani ya Tezi dume na Uvimbe huu .
Kuhusu saratani ya Tezi hii inasemekana ulaji wa nyama nyekundu,Maziwa , sigara na pombe vinahusishwa nayo lkn hakuna ushahid wa kutosha .


Barakallahu fiikum.




IMEANDALIWA NA ABAA MAYSARAH ,MD. حفظه الله

________________________


kwa tiba na ushauri wasiliana na subira tiba Asilia .

https://t.me/Subratibaasilia


+255 75800163.

+254 743101242.

DAR ES SALAM .

TANZANIA .

TUWE WAADILIFU USIBALI CHOCHOTE KWENYE MAKALA HII.

CHANGO

CHANGO . watu wengi wanauliza chango ni nini ?  Chango ni jina la kiswahili lipatikanalo kwa baadhi ya makabila ya kibantu. Maana ya chango ...